read
news & Articles
Tumegawana pointi Kirumba
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Geita Gold uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. George Mpole
Nyota watakaotuwakilisha dhidi ya Geita leo
Kocha Mkuu Pablo Franco amefanya mabadiliko ya wachezaji wanne katika kikosi kitakachoanza leo kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold ukilinganisha na kile kilichocheza na Azam
Tumejipanga kuikabili Geita Kirumba leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba kuikabili Geita Gold katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Kipaumbele
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kirumba
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa CCM Kirumba tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu
Pablo akiri Geita ni timu bora
Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa Uwanja wa CCM Kirumba dhidi ya Geita Gold utakuwa mgumu
Queens yakabidhiwa ubingwa kwa shangwe la Ushindi
Timu yetu ya Simba Queens imekabidhiwa taji la ubingwa wa Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Womens Premier League) kwa ushindi baada ya kuwafunga Baobab Queens