read

news & Articles

Kazi ni moja tu Sokoine leo…

Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa kazi moja tu ya kuifunga Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC

Bocco, Mkude fiti kuivaa Prisons kesho

Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola amesema Nahodha John Bocco na kiungo Jonas Mkude ni miongoni mwa wachezaji waliosafiri kuelekea jijini Mbeya tayari kwa mchezo wa

Mashabiki wamwagia pesa Wawa wakimuaga

Mashabiki waliojitokeza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wamemwagia pesa mlinzi wa kimataifa, Pascal Wawa wakati wa kuagwa baada ya kumalizika mchezo wetu dhidi ya Mtibwa

Mtoto awakilisha mashabiki nchi nzima

Mtoto wa miaka mitano Bernadetha Joseph Mwamboneke amewawakilisha mashabiki wetu nchi nzima katika hafla ya kuwashukuru kwa kuwa pamoja nasi msimu mzima wa 2021/22. Uongozi

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC