read
news & Articles
Kazi ni moja tu Sokoine leo…
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa kazi moja tu ya kuifunga Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Tumepata mapokezi makubwa jijini Mbeya
Maelfu ya mashabiki wamejitokeza kwa wingi kukipokea kikosi chetu baada ya kuwasili jijini Mbeya kwa tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC
Bocco, Mkude fiti kuivaa Prisons kesho
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola amesema Nahodha John Bocco na kiungo Jonas Mkude ni miongoni mwa wachezaji waliosafiri kuelekea jijini Mbeya tayari kwa mchezo wa
Mashabiki wamwagia pesa Wawa wakimuaga
Mashabiki waliojitokeza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wamemwagia pesa mlinzi wa kimataifa, Pascal Wawa wakati wa kuagwa baada ya kumalizika mchezo wetu dhidi ya Mtibwa
Tumemaliza mechi ya mwisho nyumbani kwa ushindi
Mchezo wetu wa mwisho katika Uwanja wa nyumbani wa Benjamin msimu wa 2021/22 dhidi ya Mtibwa Sugar umemalizika kwa ushindi wa mabao 2-0. Pape Sakho
Mtoto awakilisha mashabiki nchi nzima
Mtoto wa miaka mitano Bernadetha Joseph Mwamboneke amewawakilisha mashabiki wetu nchi nzima katika hafla ya kuwashukuru kwa kuwa pamoja nasi msimu mzima wa 2021/22. Uongozi