read

news & Articles

Tunafunga Msimu wa Ligi 2021/22 Songea

Kikosi chetu leo kitacheza mechi ya mwisho ya kufungia msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2021/22 kwa kuikabili Mbeya Kwanza katika mchezo utakaopigwa katikq Uwanja

Tupo tayari kwa Mbeya Kwanza kesho

Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, amesema kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wetu wa mwisho wa kufungia msimu dhidi ya Mbeya Kwanza utakaopigwa kesho

Timu yaifuata Mbeya Kwanza Songea

Kikosi chetu kimeanza safari asubuhi hii kuelekea mjini Songea tayari kwa mchezo wa Jumatano wa kukamilisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya

Tumeacha alama zote tatu Sokoine

  Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja katika mechi iliyopigwa Uwanja wa Sokoine jijini

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC