read
news & Articles

Simba kuhamasisha ulipaji Kodi kwa hiari
Uongozi wa klabu umeweka wazi kuwa kuanzia sasa umebeba dhamana ya kuhamasisha ulipaji Kodi wa hiari kupitia michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambayo tumeingia

Timu kuondoka kesho kuelekea Afrika Kusini
Kikosi cha wachezaji 23 kitaondoka kesho asubuhi kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch utakaopigwa

Timu yarejea kutoka Zanzibar, yaanza maandalizi
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka Zanzibar baada ya mchezo wa jana wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch

Tumewafunga Stellenbosch Amaan Zanzibar
Mchezo wetu wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar umemalizika kwa

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Stellenbosch Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuikabili Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya

Ni ama zetu ama zao Stellenbosch Uwanja wa Amaan Leo
Hakuna lugha rahisi ambayo unaweza kuitumia kuelezea jinsi ambavyo tunahitaji ushindi mnono kwenye mchezo wetu wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika