read
news & Articles
Phiri kama kawa atupia mawili tukiitoa Big Bullets
Mabao mawili yaliyofungwa na mshambuliaji Moses Phiri yametosha kutuvusha na kutinga hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuifunga Nyasa Big Bullets
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Big Bullets
Moses Phiri ataendelea kuongoza safu yetu ya ushambuliaji katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets utakaopigwa Uwanja wa
Tunaendelea tulipoishia Malawi
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Nyasa Big Bullets ya Malawi katika mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi
Alichosema Kocha Mgunda kuelekea mchezo wa kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Hatutaingia kinyonge kwa Mkapa Jumapili
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amewahakikishia mashabiki katika mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets ya Malawi
Chama awashukuru wachezaji, mashabiki tuzo ya Agosti
Kiungo mshambuliaji Clatous Chama amewashukuru wachezaji wenzake na mashabiki waliosababisha kuchaguliwa mchezaji bora wa mwezi Agosti (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month).