read
news & Articles
Baada ya ushindi timu yaanza safari kurejea Dar
Kikosi chetu kimeanza safari ya kurudi jijini Dar es Salaam usiku huu kutoka Angola baada ya ushindi mnono wa mabao 3-1 tuliopata dhidi ya Premiero
Mgunda: Tunarudi kumalizia kwa Mkapa
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema licha ya kupata ushindi mnono ugenini lakini kazi bado hatujamliza tunarudi nyumbani kujipanga kwa ajili ya mechi ya marudiano. Mgunda
Tumetimba mguu mmoja ndani Makundi Afrika
Ushindi mnono wa mabao 3-1 tuliopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto uliopigwa Uwanja wa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya De Agosto leo
Baada ya kukosekana katika mchezo wa ligi uliopita mlinzi wa kati Henock Inonga leo ataanza katika mechi ya hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa
Vitani kutupa karata yetu ya kwanza Angola leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Novemba 11 saa 12 jioni kuikabili Premiero De Agosto katika mchezo wa hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa
Timu yafanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuifuata De Agosto
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika uwanja wetu wa Mo Simba Arena kabla ya kuanza safari ya kuifuata Primiero De Agosto nchini Angola.