read
news & Articles
Kikosi cha Queens dhidi ya ASFAR FC
Timu yetu ya Simba Queens leo itatupa karata yake ya kwanza kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya wenyeji ASFAR FC mchezo utakaonza saa
Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Mtibwa
Baada ya kukaa nje kwa takribani mwezi mzima kuuguza jeraha mlinzi wa kulia Shomari Kapombe leo amerejea na ameanza katika kikosi kitakachoshuka dimbani kuikabili Mtibwa
Tuko tayari kuikabili Mtibwa leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja kuikabili Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia katika mchezo wa
Mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Mtibwa kesho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa
Queens ipo tayari kwa Ligi ya Mabingwa Afrika
Kocha Mkuu Charles Lukula amesema kikosi chetu kipo tayari kwa mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji ASFAR FC ya Morocco
Mgunda: Tuko tayari kwa Mtibwa kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema kikosi kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa Uwanja wa Benjamin