Nyota wa Queens wanaowania tuzo za SLWPL 2022/23

Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imeweka hadharani majina ya wachezaji na makocha wanaowania tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) ambayo imemalizika katikati ya wiki.

Timu yetu ya Simba Queens ambayo imemaliza nafasi ya pili imetoa wanaowania katika category mbalimbali kama ifuatavyo:

Kipa Bora

🔸Gelwa Yona

Mchezaji Bora

🔸 Jentrix Shikangwa

Mfungaji Bora

🔸 Jentrix Shikangwa (Tayari ameshinda tuzo hii kwakuwa ndiye kinara wa ufungaji)

Kocha Bora

🔸 Charles Lukula

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER