read
news & Articles

Tumepangwa na Mbeya City Robo fainali CRDB
Droo ya robo fainali ya michuano ya CRDB BANK federation cup imekamilika na tumepangwa na Mbeya City kutoka Mbeya inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza (Championship)

Tumepoteza mchezo wa mkondo wa kwanza wa Robo Fainali
Kikosi chetu kimepoteza mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Al Masry katika

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Masry
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Suez Canal nchini Misri kuikabili Al Masry katika mchezo wa robo fainali ya kwanza ya

Tupo Kamili Kuivaa Al Masry Leo
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Suez nchini Misri kuikabili Al Masry katika mchezo wa robo fainali ya kwanza ya Kombe

Kauli ya Kocha Fadlu kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Al Masry
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry yamekamilika na kikosi

VIDEO: Fadlu azungumzia hali ya kikosi baada ya siku kadhaa za mazoezi nchini Misri
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema maandalizi ya mchezo wetu dhidi ya Al Masry yanaendelea vizuri na wachezaji wetu wapo kwenye hali nzuri tayari kuipigania timu.
