read
news & Articles
Queens yaisambaratisha The Tigers
Kikosi chetu cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya The Tigers katika mchezo wa Serengeti Lite Women’s Premier League
13 Wachukua fomu, wanne wautaka uenyekiti
Wagombea 13 wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu wa klabu utakaofanyika Januari 29, mwakani. Kati ya wagombea hao wanne wanawania nafasi
Tumepangwa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika
Droo ya upangaji makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekamilika jijini Cairo, Misri ambapo timu yetu tumepangwa Kundi C. Katika kundi letu tumepangwa pamoja na
Queens yaifuata The Tigers Arusha
Kikosi chetu cha Simba Queens kimeondoka leo alfajiri kuelekea jijini Arusha tayari kwa mchezo wa pili wa Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League)
Mgunda: Tulikuwa tunacheza na timu ambayo hatuijui
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema Eagle FC tulikuwa hatuijui na hatukuwahi kuiona ikicheza ndiyo maana tulianza na sehemu kubwa ya kikosi kilichozoeleka. Mgunda amesema ni
Phiri atupia manne tukiichakaza Eagle kwa Mkapa
Mshambuaji kinara Moses Phiri amefunga mabao manne katika ushindi wa mabao 8-0 tuliopata dhidi ya Eagle FC kwenye mchezo wa hatua ya pili ya Azam