read
news & Articles

Timu kuondoka kesho Alfajiri kuifuata Berkane
Kikosi chetu kitaondoka kesho saa 11 alfajiri kuelekea nchini Morocco tayari kwa mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS

Tabiri Kikosi kitakachopangwa dhidi ya KMC
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tabiri kikosi ambacho

Tupo Kamili kuikabili KMC ndani ya KMC Complex
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili KMC FC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia kwenye mchezo

Alichosema Kocha Matola kuelekea mchezo dhidi ya KMC Kesho
Kocha Msaidizi, Seleman Matola ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakuwa mgumu kutokana na wapinzani wetu kutokuwa

Ahoua apiga hat trick tukiichakaza Pamba KMC Complex
Kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua amefunga mabao matatu ‘hat trick’ katika ushindi wa 5-1 tuliopata dhidi ya Pamba Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Pamba Jiji
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu Davids