read
news & Articles
Chama, Bocco, Kapombe kuchuana mchezaji bora Desemba
Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kumtafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Desemba (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month).
Mgunda awapongeza wachezaji ushindi wa Prisons
Kocha Mkuu Juma Mgunda amewapongeza wachezaji kwa kuonyesha kiwango safi katika ushindi wa mabao 7-1 tuliopata dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa ligi
Bocco, Ntibazonkiza wapiga hat trick tukiichakaza Prisons ‘wiki’
Nahodha John Bocco na kiungo Said Ntibazonkiza wamefunga magoli matatu (hat trick) kila mmoja katika ushindi mnono wa mabao 7-1 tuliopata dhidi ya Tanzania
Ntibazonkiza kuanza dhidi ya Tanzania Prisons
Kiungo mpya mshambuliaji, Said Ntibazonkiza ameanza kikosi cha kwanza kitakachoshuka dimbani leo saa 12:15 jioni kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Tunafunga mwaka kwa Mkapa leo
Kikosi chetu leo kitashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao utakuwa wa mwisho kwa mwaka
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi Tanzania Prisons utakaopigiwa kesho saa 12:15 jioni. Mazoezi