read
news & Articles
Chama mchezaji bora wa mashabiki Desemba
Kiungo mshambuliaji Clatous Chama, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Desemba (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Chama amewashinda Nahodha John
Queens kibaruani kuikabili Fountain Gate Leo
Timu yetu ya Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka kwenye Uwanja wa Uhuru kuikabili Fountain Gate katika muendelezo wa Ligi ya Wanawake ya Serengeti
Tumepoteza mechi ya kwanza Mapinduzi
Kikosi chetu kimeanza Michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kupoteza baada ya kufungwa bao moja dhidi ya Mlandege katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amani.
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mlandege leo
Mshambuliaji Habib Kyombo amepangwa kuongoza mashambulizi dhidi ya Mlandege katika mchezo wa kwanza wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Visiwani Zanzibar. Kyombo atapata msaada wa
Robertinho afunguka malengo yake, aitaja fainali ya Afrika
Kocha Mkuu mesema siku zote anawaza vitu vikubwa na malengo yake ni makubwa ikiwemo kufika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Robertinho ambaye amesaini
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mao Tse-tung
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mao Tse-tung kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Michuano ya Mapinduzi dhidi ya