read
news & Articles
Sawadogo ni Mnyama
Uongozi wa klabu unatangaza kufikia makubaliano ya kumsajili kiungo mkabaji, Hamed Ismael Sawadogo raia wa Burkinafaso. Kiungo huyu fundi mwenye uwezo wa kukaba na
Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na CSKA
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Alawir kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya CSKA Moscow utakaopigwa kesho saa tisa
Tumepoteza mbele ya Al Dhafrah
Mchezo wetu wa kirafiki dhidi ya Al Dhafrah uliofanyika katika Mji wa Abu Dhabi umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja. Mchezo ulikuwa mzuri ambapo tulimiliki
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Dhafrah leo
Nahodha John Bocco amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki hapa Dubai dhidi ya Al Dhafrah utakaopigwa mjini Abu Dhabi saa
Tumepangwa na Coastal 32 ASFC
Droo ya Michuano ya Azam Sports Federation Cup hatua ya 32 imekamilika ambapo tumepangwa na Coastal Union sisi tukiwa ni wenyeji. Mechi yetu dhidi
Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Al Dhafrah
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho leo jioni katika Uwanja wa Alawir kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Al Dhafrah utakaopigwa kesho saa