read
news & Articles
Imani Kajula ndiye CEO wetu mpya
Uongozi klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Ndugu Imani Kajula kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) Kajula anachukua nafasi iliyoachwa na Barbara Gonzalez ambaye alijiuzulu nafasi hiyo
Al Hilal watua jijini Dar
Mabingwa wa Soka nchini Sudan, Al Hilal wamewasili jijini Dar es Salaam tayari kwa kambi ya siku 10 kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa
Al Hilal Kutua Dar Kesho kwa mwaliko wa Simba
Mabingwa wa soka nchini Sudan, Al Hilal watatua jijini Dar es Salaam kesho saa sita mchana kwa mwaliko maalumu kutoka kwetu kwa ajili ya maandalizi
Timu yarejea Dar, Wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi kimerejea mchana jijini Dar es Salaam kutoka Dodoma baada ya ushindi wa bao moja tuliopata jana dhidi ya Dodoma Jiji. Baada ya kufika
Baleke Afungua akaunti tukipata pointi tatu Jamhuri
Bao pekee lililofungwa na mshambuliaji Jean Baleke limetosha kutupa ushindi dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Dodoma Jiji
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Hiki hapa