read
news & Articles

Droo ya Ligi ya Mabingwa kupangwa Leo Afrika Kusini
Droo rasmi ya hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika itapangwa leo katika jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini saa tisa mchana.

Robertinho: Tumeonyesha Ukubwa wa Simba
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema katika ushindi wa mabao 3-1 tuliopata dhidi ya Tanzania Prisons umeonyesha ukubwa na ubora wa timu yetu. Robertinho amesema

Tumekaa Kileleni mwa NBCPL
Ushindi wa mabao 3-1 tuliopata dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya umetufanya kupaa hadiĀ kileleni mwa msimamo wa Ligi

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Tanzania Prisons
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja Sokoine kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’

Tupo Sokoine leo kupigania alama tatu
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo wa

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Sokoine
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Sokoine