read
news & Articles

Tumetinga Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mbeya City katika

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mbeya City
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Mbeya City katika mchezo wa robo fainali ya CRDB Federation Cup. Kocha

Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema kuelekea mchezo wa kesho wa robo fainali ya CRDB Federation Cup dhidi ya Mbeya City tutapanga kikosi kamili na hakuna

Fadlu, Mukwala wang’ara tuzo za Ligi Kuu mwezi Machi
Kocha Mkuu Fadlu Davids amechaguliwa kocha bora wa Ligi Kuu ya NBC wa mwezi Machi baada ya kuwapiku Rachid Toussi wa Azam FC na David

Nusu Fainali ya Kwanza ya CAFCC kupigwa Aprili 20 kwa Mkapa
Mchezo wetu wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini utapigwa Aprili 20. Stellenbosch wamepata nafasi hiyo

Tumetinga Nusu Fainali Shirikisho Afrika Kibabe
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuifunga Al Masry kwa mikwaju ya penati 4-1 katika mchezo uliopigwa Uwanja
