read
news & Articles
Robertinho: Lengo letu ni moja tu kufuzu Robo Fainali Mabingwa Afrika
Kocha mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameweka wazi kuwa lengo ni moja kupata ushindi katika mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya
Ahmed ataja sababu za hamasa kufanyika Chanika
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amewaambia wapenzi na wanachama wa Chanika Msumbiji kuwa tumekuja huku kutokana na umuhimu wa mchezo wetu wa
Tumepangwa na Ihefu Robo Fainali ya ASFC
Droo ya Robo Fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup imekamilika na tumepangwa na Ihefu FC. Kwa mujibu wa droo hiyo iliyofanyika leo Machi
Tumeichakaza The Tigers Wiki Uhuru
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 7-0 dhidi ya The Tigers Queens katika mchezo wa Serengeti Lite Women’s Premier League uliopigwa Uwanja
Queens kibaruani leo kuikabili The Tigers
Kikosi chetu cha Simba Queens leo kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili The Tigers Queens katika mchezo wa Serengeti Lite Women’s Premier League (SWPL). Tunaingia
Watatu waitwa Stars kujiandaa na Uganda
Wachezaji wetu watatu wameitwa kwenye Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi mbili za kufuzu Fainali za Afrika