read
news & Articles
Queens yaichapa Fountain Jamhuri Dodoma
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi ya Wanawake Serengeti Lite Women’s Premier League kwenye
Okrah fiti kuivaa Ihefu Ijumaa
Kiungo mshambuliaji, Augustine Okrah amepona majeraha yaliyokuwa yanamsumbua na sasa yupo tayari kurejea uwanjani Ijumaa katika mchezo wa Robo Fainali ya Azam Sports Federation Cup
Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Fountain Gate
Leo saa 10 jioni kikosi cha Simba Queens kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kuikabili Fountain Gate kwenye mchezo wa Ligi ya Wanawake ya
Queens Kamili kuivaa Fountain Gate Kesho
Simba Queens kesho saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kuikabili Fountain Gate kwenye mchezo wa Ligi ya Wanawake ya Serengeti Lite
Droo ya Robo Fainali kupangwa Jumatano Cairo
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza droo ya hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2022/23 itapangwa Jumatano, Aprili 5 jijini Cairo,
Tumekabidhiwa ‘Mzigo wa mama’ baada ya kutua Dar
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ametukabidhi pesa taslimu Sh. 5,000,000 ‘Mzigo wa mama’ ikiwa ni ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,