read
news & Articles

Timu yarejea kutoka Zanzibar
Kikosi chetu kimerejea kutoka Visiwani Zanzibar kilipoweka kambi ya siku chache kuelekea mchezo wetu wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al

Wanasimba tuendelee kununua tiketi
Zimebaki siku tano kuelekea mchezo wetu wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Machi 29 Uwanja wa Benjamin Mkapa

Queens yaichakaza Kinondoni Queens mechi ya kirafiki
Timu yetu ya Simba Queens imeibuka na ushindi mnono wa mabao 14-0 dhidi ya Kinondoni Queens katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Mo Simba

Ahmed amkabidhi Rais Karia ‘Uzi’ wa kuivaa dhidi ya Al Ahly
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amemkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia jezi rasmi ambayo ataivaa katika mchezo wetu

Tunaitaka Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally ameweka wazi mipango ya klabu ni kuhakikisha timu inatinga nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa

Timu yafanya mazoezi Uwanja wa Amaan
Kikosi chetu kimefanya mazoezi usiku huu katika Uwanja wa nje wa New Amaan Complex kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika