read
news & Articles
Rasmi Chilunda ni Mnyama
Mshambuliaji, Shaban Idd Chilunda amejiunga nasi kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru. Chilunda ni miongoni mwa washambuliaji wazawa wenye vipaji na uwezo mkubwa
Meya wa Kizicahamam aitembelea timu Uturuki
Mstahiki Meya wa Jimbo la Kizicahamam lililopo hapa Ankara Uturuki, Suleyman Acar aimetembelea timu yetu na kusalimiana na benchi la ufundi na wachezaji leo jioni.
CEO Kajula akabidhi Begi la jezi kwa mashujaa
Mtendaji Mkuu wa klabu, Imani Kajula amekabidhi begi la jezi kwa mashujaa ambao tayari kwa kuanza safari ya kulipeleka juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro
Che Malone, Baleke, Onana, Kramo wafanya mazoezi ya uwanjani
Baada ya kufanya mazoezi ya Gym asubuhi nyota wanne Che Fondoh Malone, Jean Baleke na Aubin Kramo Kouame wamefanya mazoezi ya uwanjani jioni. Asubuhi walifanya
Ahmed aondoka na Kibegi Dar kuelekea Moshi
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally ameondoka jijini Dar es Salaam akiwa na begi lenye jezi ambazo zitazinduliwa Ijumaa saa moja usiku katika kilele cha
Wycliff Omom Mtaalamu mpya wa tiba ya Viungo
Wycliff Omom raia wa Kenya ndiye Mtaalamu wetu wa Tiba ya Viungo kwa wachezaji kwa muda wa miaka miwili. Wycliff anachukua nafasi ya Fareed Cassiem