read
news & Articles
Tumepata ushindi mnono dhidi ya Cosmo
Kikosi chetu kimepata ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Cosmopolitan katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Uwanja wa Mo Simba, Bunju. Moses Phiri alitupatia bao
Tumepangwa na Al Ahly AFL
Droo ya michuano ya African Football League (AFL) imekamilika na tumepangwa na miamba ya Afrika Al Ahly kutoka Misri. Mchezo wa kwanza utapigwa katika Uwanja
Alichosema Robertinho baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Kipanga
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema amefurahishwa na jinsi wachezaji walivyocheza katika ushindi wa mabao 3-0 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Kipanga FC uliopigwa
Tumepata ushindi dhidi ya Kipanga
Tumepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kipanga FC katika mchezo wa kirafiki uliopigwa katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena. Mchezo ulianza kwa kasi
Tunatoa basi la klabu kwa mashabiki kwenda Zambia
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema Menejimenti imetoa basi la timu kwa ajili ya mashabiki kwenda Zambia kuiunga mkono timu kwenye mchezo
Habari Picha: Mazoezi ya leo jioni Mo Arena
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi leo jioni kujiandaa na mchezo wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia