read
news & Articles
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Sokoine
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Sokoine
Robertinho, Abel wazungumzia mchezo wa kesho dhidi ya Prisons
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tumejiandaa vizuri kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Sokoine
Hawa hapa nyota 22 wanaoifuata Prisons
Kikosi kinaelekea jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Sokoine siku ya Alhamisi saa
Timu yarejea mazoezini, Kuifuata Prisons Jioni
Kikosi kimefanya mazoezi leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Alhamisi saa 10 jioni katika Uwanja wa
Robertinho: Nimefurahi kuiwezesha timu kuingia makundi Afrika
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema lengo la kwanza lilikuwa kuhakikisha timu inaingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuitoa Power Dynamos
Tumefuzu hatua ya makundi Afrika
Licha ya sare ya kufungana bao moja dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopigwa Azam Complex