read
news & Articles

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Chahid Hamlaoui
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Chahid Hamlaoui tayari kwa mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine

VIDEO: Kocha Fadlu asema tupo tayari kuikabili Constantine Kesho
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya kupambana na CS Constantine katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya

VIDEO: Timu yafanya Mazoezi ya kwanza Algeria
Kikosi chetu kimefanya ya kwanza nchini Algeria kujiandaa na mchezo wa pili wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine utakaopigwa

Mukwala: Tutaizoea hali ya hewa ya Algeria
Mshambuliaji Steven Mukwala amesema licha ya hali ya hewa kuwa baridi kali nchini Algeria lakini tutaizoea hadi kufika Jumapili siku ya mchezo wa Kombe la

VIDEO: Ahmed amezungumzia hali ya timu baada ya kufika Algeria
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema kikosi chetu kipo kwenye hali nzuri na Leo kitafanya mazoezi ya kwanza nchini Algeria kujiandaa na

Alichosema Kapombe baada ya kuwasili Algeria
Baada ya kuwasili salama nchini Algeria mlinzi wa kulia, Shomari Kapombe amesema wachezaji wapo tayari kufuata maelekezo ya walimu kwenye mazoezi ili kufanya vizuri katika
