read
news & Articles
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Liti
KIkosi chetu kimefanya mazoezi mwisho katika Uwanja wa Liti hapa Singida tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu FC
Matola: Wanasimba Njooni kesho Uwanjani hatutawaangusha
Kocha Msaidizi Seleman Matola amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Liti kesho kwa ajili ya kuisapoti timu kwenye mchezo wa kesho wa Ligi
Timu yawasili Singida
Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Singida kutoka Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC unaofuata dhidi ya Ihefu FC. Meneja Habari na
Tumetolewa CRDB Bank Federation Cup
Mchezo wetu wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma umemalizika kwa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kigoma
Nyota wote 26 tuliosafiri nao kuja Kigoma kwa ajili ya mchezo wa kesho wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya