Kikosi chetu leo saa 11 jioni kitasafiri kwa ndege kuelekea jijini Arusha kwa kambi ya wiki mbili kujiandaa na Msimu Mpya wa Ligi 2021/22.
Kikosi kitakuwa na wachezaji 21 huku wale waliopo kwenye majukumu ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) watajiunga na wenzao baadaye.
Kambi ya Arusha inakuwa ya pili baada ya ile ya siku 18 ya nchini Morocco.
Kikosi kitarejea jijini Dar es Salaam siku chache kabla ya kilele cha Simba Day, Septemba 19.
Kikosi Kamili kinachosafiri
Makipa
1. Beno Kakolanya
2. Ally Salim
3. Ahmed Feruz
Mabeki
4. Pascal Wawa
5. Gadiel Michael
6. Henock Baka
7. Kennedy Juma
8. Joash Onyango
Viungo
9. Jonas Mkude
10. Rally Bwalya
11. Bernard Morrison
12. Yussufu Mhilu
13. Abdulsamad Kassim
14 Sadio Kanoute
15. Duncan Nyoni
16. Jimmyson Mwanuke
17. Hassan Dilunga
18. Pape Sakho
Washambuliaji
19. John Bocco
20. Ibrahim Ajib
21. Cris Mugalu