Simba Sports Club
Pre Season Arusha

Hiki hapa kikosi cha nyota 21 wa Simba wanaokwenda kambini Arusha

5 Sep 2021

Kikosi chetu leo saa 11 jioni kitasafiri kwa ndege kuelekea jijini Arusha kwa kambi ya wiki mbili kujiandaa na Msimu Mpya wa Ligi 2021/22.

Kikosi kitakuwa na wachezaji 21 huku wale waliopo kwenye majukumu ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) watajiunga na wenzao baadaye.

Kambi ya Arusha inakuwa ya pili baada ya ile ya siku 18 ya nchini Morocco.

Kikosi kitarejea jijini Dar es Salaam siku chache kabla ya kilele cha Simba Day, Septemba 19.

Kikosi Kamili kinachosafiri

Makipa

1. Beno Kakolanya

2. Ally Salim

3. Ahmed Feruz

Mabeki

4. Pascal Wawa

5. Gadiel Michael

6. Henock Baka

7. Kennedy Juma

8. Joash Onyango

Advertisement

Viungo

9. Jonas Mkude

10. Rally Bwalya

11. Bernard Morrison

12. Yussufu Mhilu

13. Abdulsamad Kassim

14 Sadio Kanoute

15. Duncan Nyoni

16. Jimmyson Mwanuke

17. Hassan Dilunga

18. Pape Sakho

Washambuliaji

19. John Bocco

20. Ibrahim Ajib

21. Cris Mugalu

Back to homepage
Share this story