Kikosi cha timu yetu kimeondoka jioni hii kwa ndege kuelekea jijini Arusha kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na msimu mpya wa ligi.
Wachezaji 21 na benchi zima la ufundi wameambatana katika safari hiyo.
Advertisement
Kikosi kinatarajia kurejea Dar es Salaam siku chache kabla ya kilele cha Simba Day, Septemba 19.