read
news & Articles
Matola asisitiza mshikamano Simba
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amewaomba Wanasimba kurejesha ushirikiano na kuendelea kuipa sapoti timu baada ya matokeo mabaya tuliyopata kwenye mchezo wetu uliopita. Matola amesema hakuna
Matola aanza Kazi ashiriki mazoezi ya jioni
Kocha, Selemani Matola leo ameanza mazoezi kazi na ameshiriki katika mazoezi ya jioni wakati kikosi kikijiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC
Kocha Cadena afunguka kuhusu mchezo dhidi ya Namungo Kesho
Kaimu Kocha Mkuu, Daniel Cadena amesema maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa kesho saa 10 jioni Uwanja wa Uhuru
TAARIFA KWA UMMA.
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (
Wanne waitwa Stars
Nyota wetu wanne wameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi za kufuzu fainali za Kombe
Alichosema Robertinho baada kupoteza Derby
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kipigo cha mabao 5-1 tulichopata kutoka kwa watani Yanga ni sehemu ya mpira. Robertinho amesema kipindi cha pili tulipoteza