read
news & Articles
Queens yaichapa Ilala
Timu yetu ya Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Ilala Queens katika mchezo wa kirafiki iliyofanyika Uwanja wa Veterani uliopo
Timu yatua salama Botswana
Kikosi chetu kimewasili salama nchini Botswana tayari kwa mchezo wa kesho wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy utakaopigwa
Nyota 20 watakaosafiri kuifuata Jwaneng Botswana
Kikosi chetu kitaondoka kesho alfajiri kuelekea Botswana tayari kwa ajili ya mchezo wa pili hatua ya makundi dhidi ya Jwaneng Galaxy utakaopigwa Jumamosi katika Uwanja
Mchezo dhidi ya Jwaneng Galaxy kupigwa Fransictown
Mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy utachezwa katika Mji wa Fransictown baadala ya Mji
Alichosema Kocha Benchikha baada ya kutua nchini
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema amefurahi kuiongoza Simba na amejipanga kuivusha kuitoa hapa ilipo na kuipandisha juu. Benchikha ametua nchini usiku huu kutoka nchini Algeria
Queens yashusha straika kutoka Uganda
Timu yetu ya Simba Queens imekamilisha usajili wa mshambuliaji Ainembabazi Joanitah raia wa Uganda kwa mkataba wa miaka miwili. Ainembabazi anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa