read
news & Articles

Tumepata ushindi dhidi ya Telecom
Mchezo wetu wa kirafiki dhidi ya Telecom FC uliopigwa Uwanja wa Mercure umemaliza kwa kupata ushindi wa mabao 2-1. Mpira ulianza kwa kasi huku timu

Leo tutacheza mechi ya pili ya kirafiki Misri
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Mercure kuikabili Telecom FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Misri. Mchezo huu ni wa

Ahmed Wanasimba Tukutane kwa Mkapa Agosti 3
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amewaomba Wanasimba kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Agosti 3 katika Tamasha la kihistoria la

VIDEO: Ahmed ataja sababu ya Bonanza la Ubaya Ubwela’
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema lengo lakuja na Bonanza ni kuwafanya Wanasimba kuwa na upendo, umoja na mshikamano. Ahmed amesema lengo

Ahmed Ally atunukiwa Tuzo ya Kiswahili
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally ametunukiwa tuzo ya matumizi fasaha ya Lugha ya Kiswahili na Taasisi ya Watetezi wa Kiswahili Tanzania (WAKITA).

Queens yapangwa kundi B michuano ya CECAFA
Timu yetu ya Simba Queens imepangwa kundi B katika michuano ya kufuzu fainali za Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
