read
news & Articles

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Stellenbosch Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Moses Mabhida kuikabili Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya

Tupo tayari kumalizia kazi tuliyoianza Zanzibar
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Moses Mabhida kuikabili Stellenbosch katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika. Tutaingia katika

Kauli ya Kocha Fadlu kuelekea mchezo dhidi ya Stellenbosch
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch utakuwa mgumu

Jayrutty yaingia ushirikiano na Diadora kutengeneza vifaa vya Michezo vya klabu
Kampuni ya Jayrutty imeingia ushirikiano na Kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya nchini Italia ya Diadora kwa ajili ya kuzalisha na kusambaza vifaa vya

VIDEO: Ahmed amezungumzia hali ya kikosi siku ya pili Durban
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema kikosi kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika

Timu yawasili salama Durban
Kikosi chetu kimewasili salama katika mji wa Durban tayari kwa mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch utakaopigwa
