read
news & Articles

Karibu Simba Alassane Kante
Kiungo mkabaji, Alassane Maodo Kante amejiunga na kikosi chetu kutoka CA Bizertin ya Tunisia kwa mkataba wa miaka miwili huku tukiwa na kipengele cha kuongeza

VIDEO: Alichosema Ahmed baada ya timu kuelekea Misri
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema wachezaji wakigeni tuliowasajili wataungana na wenzao kambini nchini Misri baada ya kukamilisha taratibu za vibali na

Kwaheri Che Fondoh Malone
Mlinzi wa kati, Che Fondoh Malone hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 baada ya kujiunga na USM Algiers ya Algeria

Rushine De Reuck ni Mnyama
Mlinzi wa kati, Rushine De Reuck amejiunga na kikosi chetu kutoka Mamelodi Sundowns kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka

Timu kuondoka alfajiri kuelekea Misri
Kikosi chetu kitaondoka kesho alfajiri Julai 30, kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya msimu wa mashindano (Pre Season) kwa takribani

VIDEO: Idara ya Habari tumekabidhiwa ‘Faili’ la Usajili
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amekabidhi sanduku lililobeba majina ya wachezaji wote tuliosajili kwa Idara ya Habari kuelekea msimu mpya wa mashindano