read
news & Articles

Stars yaanza kwa ushindi CHAN
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeanza vema michuano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0

Karibu Simba Mohamed Bajaber
Kiungo mshambuliaji, Mohamed Bajaber amejiunga na kikosi chetu kutoka Polisi Kenya kwa mkataba wa miaka mitatu. Bajaber (22) raia wa Kenya ni mchezaji mwenye kipaji

VIDEO: Semaji afunguka kuhusu usajili wa Sowah
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema usajili wa mshambuliaji, Jonathan Sowah ni jambo muhimu tumelifanya kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026. Ahmed

Karibu Simba Jonathan Sowah
Mshambuliaji, Jonathan Sowah atakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili. Sowah (26) raia wa

Karibu Simba Hussein Daudi Semfuko
Kiungo mkabaji, Hussein Daudi Semfuko atakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Semfuko (21)

Karibu Simba Morice Abraham
Kiungo mshambuliaji, Morice Abraham amejiunga na kikosi chetu kutoka Spartak Subotica ya Serbia kwa mkataba wa miaka miwili. Baada ya kurejea nchini kutoka Serbia, Morice