read
news & Articles

Tumepoteza dhidi ya CS Constantine
Mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine kutoka Algeria uliopigwa Uwanja wa Chahid Hamlaoui umemalizika

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya CS Constantine
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Chahid Hamlaoui kuikabili CS Constantine kutoka Algeria katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi

Tupo tayari kuikabili CS Constantine Leo
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Chahid Hamlaoui kuikabili CS Constantine kutoka Algeria katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Chahid Hamlaoui
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Chahid Hamlaoui tayari kwa mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine

VIDEO: Kocha Fadlu asema tupo tayari kuikabili Constantine Kesho
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya kupambana na CS Constantine katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya

VIDEO: Timu yafanya Mazoezi ya kwanza Algeria
Kikosi chetu kimefanya ya kwanza nchini Algeria kujiandaa na mchezo wa pili wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine utakaopigwa