read
news & Articles

Tumetoka sare na KMC
Kikosi chetu leo kimecheza mechi ya kirafiki ya kimazoezi dhidi ya KMC iliyomalizika kwa sare ya kufungana bao moja iliyopigwa katika dimba la KMC Complex.

Queens yaibuka na ushindi dhidi ya Yanga Princess
Simba Queens imeendeleza ubabe baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL)

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Yanga Princess
Leo saa 10 jioni Simba Queens itashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Queens

Timu yaendelea na Mazoezi Mo Arena
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Pamba

Alichosema Kocha Basigi kuelekea Derby Kesho
Kocha Mkuu wa Simba Queens Yussif Basigi amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi ya Wanawake dhidi ya Yanga Princess yamekamilika na wachezaji wapo

Mchezo dhidi ya Pamba kupigwa Novemba 22
Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imetoa tarehe rasmi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Pamba Jiji ambao utapigwa Novemba 22. Mchezo ambao
