read
news & Articles

Tumechukua alama tatu Kibabe Kaitaba
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-2 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa katika dimba la

Mpanzu kuongoza mashambulizi dhidi ya Kagera Sugar
Kiungo mshambuliaji, Elie Mpanzu ataongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa katika Uwanja wa Kaitaba. Usajili

Tupo tayari kuvunja mwiko katika Uwanja wa Kaitaba Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Kaitaba kuikabili Kagera Sugar katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia katika mchezo wa

Kauli ya Kocha Fadlu kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa saa 10 jioni kwenye Uwanja

Timu yawasili salama Kagera
Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Kagera tayari kwa ajili ya mchezo wa Jumamosi wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa katika Uwanja

VIDEO: Kocha Fadlu anawaamini wachezaji wote kikosini
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema anawaamini wachezaji wote ndio maana amekuwa akifanya mabadiliko mara kwa mara kwenye kikosi chake na wamekuwa wakimpa matokeo chanya. Kocha