read
news & Articles

Morrison aanza ‘full kuwakera’ kwa Mkapa leo
Kiungo mshambuliaji Bernard Morrison ameanzishwa katika kikosi cha kwanza kilichopangwa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa ligi kuu utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa leo saa 11

Tunataka taji letu la VPL leo
Alama tatu dhidi ya watani wetu wa jadi Yanga kwenye mchezo wa leo zitatufanya kutawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), kwa

Simba kuwakosa wawili mechi na Yanga kesho
Katika mchezo wetu wa watani wa jadi wa kesho tutakosa huduma ya nyota wetu wawili Ibrahim Ajibu ambaye anasumbuliwa na Malaria pamoja na Jonas Mkude

Gomes: Nimetazama mechi nane za Mtani, najua jinsi ya kuwakabili
Kocha Mkuu Didier Gomes, amesema ameangalia kwa makini mechi nane za watani wetu Yanga ambao tutakutana Jumamosi hii hivyo anajua jinsi ya kuwakabili. Gomes amesema

Morrison mchezaji bora Simba
Kiungo mshambuliaji Bernard Morrison, amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Juni (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month). Morrison raia wa Ghana amewashinda

Tupo tayari kwa ‘battle’ Jumamosi
Kikosi chetu kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa watani wa jadi Yanga utakaofanyika Jumamosi Julai 3, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11 jioni.
