read
news & Articles

Tumepangwa na TMA hatua ya 32 CRDB Federation Cup
Droo ya hatua ya 32 imekamilika mchana huu na tayari tumemjua mpinzani tuliyepangwa nae ambaye ni TMA kutoka Arusha inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza (Championship).

Tumegawana alama Tanzanite Kwaraa
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Fountain Gate FC uliopigwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. Mchezo

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Fountain Gate
Kikosi chetu leo saa 10:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa kuikabili Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu

Tupo tayari kuikabili Fountain Gate FC Leo
Leo saa 10:15 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa mkoani Manyara kuikabili Fountain Gate FC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Kauli ya Kocha Wilken kuelekea mchezo dhidi ya Fountain Gate
Kocha Msaidizi, Darian Wilken amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Fountain Gate FC utakaopigwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa

Queens yapata ushindi wa jioni dhidi ya Ceasiaa
Bao pekee la dakika ya 90 lililofungwa na Jentrix Shikangwa limetosha kuipa Simba Queens ushindi 1-0 dhidi ya Ceasiaa Queens katika mchezo wa Ligi Kuu