read

news & Articles

Nyota saba waitwa Taifa Stars

Wachezaji wetu saba wameitwa katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayojiandaa na mechi mbili za kirafiki za kimataifa zilizopo kwenye kalenda

Pablo ataja mbinu zilizoimaliza Berkane

Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema tuliamua kutumia udhaifu wa RS Berkane hasa upande wa kushoto kuanzisha mashambulizi ambayo yaliwafanya kuwa na wakati mgumu muda wote.

Tumezipata pointi tatu za nyumbani

Tumefanikiwa kupata pointi tatu muhimu katika uwanja wa nyumbani baada ya kuifunga RS Berkane kutoka Morocco bao moja katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC