read
news & Articles

Tunaanza Mzunguko wa pili wa Ligi dhidi ya Tabora Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mkoani Tabora kuikabili Tabora United katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa

Simba yaichakaza bila huruma Yanga Bunge Bonanza
Timu ya Wabunge mashabiki wa Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi mabao 4-0 dhidi ya mashabiki wa Yanga katika Bunge Bonanza likilofanyika katika Uwanja wa Shule

Tupo tayari kuikabili Tabora Kesho
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema kikosi chetu kipo kwenye hali nzuri kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora

Shikangwa apiga hat trick Queens ikiichakaza Fountain Gate Princess
Mshambuliaji kinara Jentrix Shikangwa amefunga mabao matatu ‘hat trick’ katika ushindi wa 4-2 tuliopata dhidi ya Fountain Gate Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Fountain Princess
Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja Tanzanite Kwaraa kuikabili Fountain Gate Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Queens

Fadlu: Kilimanjaro Wonders wametupa changamoto
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema licha ya ushindi mnono wa mabao 6-0 tuliopata dhidi ya Kilimanjaro Wonders katika mchezo wa hatua ya 64 ya CRDB
