read
news & Articles
Queens yaichakaza The Tigers Arusha
Timu yetu ya Simba Queens imeendeleza moto wake katika Ligi ya Wanawake Serengeti Lite Womens Premier League baada ya kuichapa The Tigers Queens mabao 3-0
Kauli ya Pablo kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakuwa ngumu kutokana na ubora wa
Sportpesa yatoa mamilioni kufika robo fainali Shirikisho
Wadhamini wetu wakuu kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Sportpesa imetupatia kitita cha Sh milioni 50 (50,000,000) kwa kufanikiwa kutinga Robo Fainali ya Michuano ya
Pablo: Hatujakata tamaa na Ubingwa wa Ligi
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa bado hatujakata tamaa na ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa sababu tuna mechi nane zimebaki kabla ya
Tumechukua tatu muhimu kutoka kwa Ruvu Shooting
Kikosi chetu kimefanikiwa kuondoka na alama zote tatu baada ya kuichakaza Ruvu Shooting mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa
Kapombe afikisha mechi 100 Ligi Kuu
Mlinzi wa kulia Shomari Kapombe amecheza mchezo wake 100 wa Ligi Kuu tangu alipojiunga nasi kwa mara ya pili akitokea Azam FC mwaka 2017. Tangu