read
news & Articles
Timu yaendelea kujifua kujiandaa na Ngao ya Jamii
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wetu wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumamosi
Viingilio Ngao ya Jamii vyatangazwa
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii kati yetu na watani wetu wa jadi Yanga. Mchezo huo ambao
Tumepangwa na Nyasa Big Bullets ya Malawi
Droo ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekamilika na tumepangwa na Mabingwa wa Malawi Nyasa Big Bullets ambapo tutaanzia ugenini. Mchezo huo ni wa
Hongereni Wanasimba tamasha limefana
Tamasha letu la Simba Day mwaka 2022 limefana huku tukifikia malengo tuliyokuwa tumejiwekea kwa asilimia 100. Katuka tamasha hilo, Wanasimba wamejitokeza kwa wingi ambapo
Tumewapa furaha tuliyowaahidi Wanasimba
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya St.George ya Ethiopia kwenye kilele cha Simba Day
Zuchu apagawisha, ashuka na kamba angani
Msanii wa Bongo Fleva Zuhura Soud ‘Zuchu’ amewapagawisha mashabiki na Wanasimba waliojitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa katika Tamasha letu la Simba