read
news & Articles

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Bigman FC
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Bigman katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano ya CRDB

Queens yachukua pointi tatu za Gets Program Dodoma
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Gets Program katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) uliopigwa Uwanja wa

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Gets Program
Leo saa 10 jioni tunashuka katika Uwanja wa John Merlins kuikabili Gets Program katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Nyota wawili Janeth

Ahmed: Tunaitaka Nusu Fainali Shirikisho Afrika
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema malengo yetu msimu huu ni kuhakikisha tunavuka hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali. Ahmed

Mchezo dhidi ya Al Masry kupigwa Benjamin Mkapa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mchezo wetu marudiano wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ambao umepangwa kupigwa

VIDEO: CEO Zubeda atoa neno kuhusu Simba Wese
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Klabu, Zubeda Sakuru amewasisitiza Wanasimba wanaomiliki vyombo vya moto kujaza mafuta Lake Energies kwakuwa watakuwa wanasaidia kupatikana kwa mapato ya klabu.
