read
news & Articles

Matola: Tupo tayari kuwakabili Singida Kesho
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema kikosi chetu kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars utakaopigwa katika

Tumepoteza taji la Ubingwa wa Shirikisho Afrika
Mchezo wetu wa fainali ya mkondo wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja hivyo

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya RS Berkane Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuikabili RS Berkane katika mchezo wa mkondo wa pili wa fainali ya Kombe

Sio kwa Mkapa tu, Hata Amaan hatoki mtu, Hili tunabeba
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar tayari kuikabili RS Berkane kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa Kombe la

VIDEO: Mazoezi ya Mwisho Amaan Zanzibar
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho mchana katika Uwanja wa Amaan Zanzibar tayari kwa mchezo wa mkondo wa pili wa fainali ya Kombe la Shirikisho

VIDEO: Kibadeni afunguka kilichoinyima Ubingwa Simba mwaka 1993
Nyota wazamani na nahodha wa kikosi chetu, Abdallah Kibadeni amesema moja ya sababu iliyofanya kushindwa kutwaa ubingwa wa Afrika mwaka 1993 dhidi ya Stella Club