read

news & Articles

Preview: Mchezo wetu dhidi ya Namungo

Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Majaliwa uliopo Ruangwa Lindi kuikabili Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia

Jentrix Mchezaji bora SLWPL Machi

Mshambuliaji wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa amechaguliwa mchezaji bora wa Ligi ya Wanawake Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) wa mwezi Machi. Jentrix ambaye ni

Timu Kuondoka mchana kuifuata Namungo

Kikosi chetu kitaondoka saa saba mchana kuelekea mkoani Lindi tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa Jumatano saa moja usiku

Alichosema Robertinho baada ya kutua Dar

Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewapongeza wachezaji kwa kazi kubwa waliyofanya licha ya kutolewa kwa mikwaju ya penati 4-3 na Wydad Casablanca katika mchezo wa

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC