read
news & Articles
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Namungo
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Majaliwa uliopo Ruangwa Lindi kuikabili Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia
Alichosema Kocha Mgunda kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Namungo
Kocha Msaidizi Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC yamekamilika na wachezaji wote wapo kwenye
Jentrix Mchezaji bora SLWPL Machi
Mshambuliaji wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa amechaguliwa mchezaji bora wa Ligi ya Wanawake Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) wa mwezi Machi. Jentrix ambaye ni
Timu Kuondoka mchana kuifuata Namungo
Kikosi chetu kitaondoka saa saba mchana kuelekea mkoani Lindi tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa Jumatano saa moja usiku
Bocco: Tunawashukuru mashabiki wetu kwa sapoti kubwa
Nahodha, John Bocco amewashukuru mashabiki wetu kujitoa kwa ajili timu katika nyakati zote hali inayowafanya wachezaji kujiona wana thamani kubwa ndani ya kikosi. Bocco amesema
Alichosema Robertinho baada ya kutua Dar
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewapongeza wachezaji kwa kazi kubwa waliyofanya licha ya kutolewa kwa mikwaju ya penati 4-3 na Wydad Casablanca katika mchezo wa