read
news & Articles

Alichosema Matola kuelekea mchezo dhidi ya Coastal Union
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema pamoja na ubora walionao Coastal Union lakini tumejipanga kuhakikisha tunapambana ili kupata alama tatu kwenye mchezo wa kesho wa Ligi

Queens kukutana na JKT Samia Women’s Super Cup
Droo ya michuano ya Samia Women’s Super Cup imekamilika na kikosi chetu cha Simba Queens kimepangwa na JKT Queens katika mchezo wa nusu fainali utakaopigwa

VIDEO: Ahoua mawazo yake ni kuisaidia timu kwanza
Kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua amesema anapoingia uwanjani jambo la kwanza ni kuisaidia timu kupata ushindi kufunga au kuasisti hilo jambo la ziada kwake. Ahoua

VIDEO: Kocha Fadlu afunguka sare dhidi ya Azam
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema makosa mawili ya dakika ya mwanzo na ya mwisho yametugharimu na kupelekea sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Azam

Dabi ya Mzizima yaisha kwa sare
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC ‘Mzima Dabi’ uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare ya kufungana mabao 2-2.

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Azam
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kuelekea mchezo huo
