Tumepangwa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika

Droo ya makundi ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika imekamilika mchana huu jijini Cairo Misri na tumepangwa kundi D.

Kikosi chetu kimepangwa kundi D pamoja na timu za RS Berkane ya Morocco, Asec Mimosas ya Ivory Coast pamoja na USGN ya Niger.

Mchezo wetu wa kwanza utafanyika jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Februari 13 mwaka 2022, dhidi ya Asec Mimosas.

Timu mbili za juu katika kundi letu zitaingia moja kwa moja hatua ya robo fainali.

SHARE :
Facebook
Twitter

4 Responses

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER