Timu yatua salama mkoani Kagera

Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Kagera tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa Kaitaba saa 10 jioni.

Baada ya kuwasili wachezaji watapata mapumziko ya saa chache na jioni kitafanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Kaitaba tayari kwa mchezo.

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER