TAARIFA YA UDHAMINI

Klabu ya Simba imesaini mkataba wa miaka mitano na kampuni ya michezo ya kubashiri, M-BET, kama mdhamini mkuu.

Mkataba kati ya Simba SC na M-Bet ulisainiwa Julai 1 2022.

Taarifa zaidi kuhusu udhamini huu zitatolewa na pande zote mbili siku ya Jumatatu, Agosti 01 2022.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER