Simba yapiga tizi Nyamagana kuiwinda Ruvu Shooting

Kikosi chetu kimefanya mazoezi leo jioni kujiandaa na mchezo dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Uwanja wa CCM Kirumba keshokutwa Alhamisi.

Kikosi kiliwasili hapa jijini Mwanza saa tano asubuhi na wachezaji walipumzika kwa saa chache kabla ya jioni kwenda mazoezini.

Meneja wa timu, Patrick Rweyemamu amesema wachezaji wote 21 waliosafiri na kikosi wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mchezo wa Ruvu Shooting.

Rweyemamu amesema benchi la ufundi na wachezaji wanafahamu mchezo utakuwa mgumu lakini tumejiandaa kuhakikisha tunashinda.

SHARE :
Facebook
Twitter

2 Responses

  1. Najivunia kuitwa mwanamsimbazi mwekundu, but ningeiomba kamati ya ICT ya Simba SC imemodify appy ya Simba Sport Club Official App kwani inaload kwa muda mrefu sana kila mashabiki tukijaribu kujiunga.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER