Simba yaendelea na mazoezi kumvutia kasi mtani

Kikosi chetu leo jioni kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya watani wa jadi Yanga, utakaopigwa Jumamosi Mei 8, mwaka huu

Mazoezi kuelekea mchezo huo yalianza jana huku wachezaji wote wakishiriki na wakiwa katika hali nzuri.

Katika mechi hiyo pia hakuna nchezaji ambaye anatarajiwa kukosekana.

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER