Simba Sports Club
Africarriers, Official Road Transport Partner

VIDEO: Simba ikisaini mkataba na Africarriers

24 Sep 2021

Klabu yetu imesaini mkataba wa miaka minne na Kampuni ya uuzaji na ukodishaji magari ya Africarriers kwa ajili ya kuzisafirisha timu zetu ikiwamo ya wakubwa, Wanawake (Simba Queens) na vijana chini ya umri wa miaka 17 wenye thamani ya Sh milioni 800

Advertisement
Back to homepage
Share this story