Simba Sports Club
Neww

Timu yarejea Dar, Wachezaji wapewa mapumziko

23 Jan 2023

Baada ya kufika wachezaji wamepewa mapumziko na kesho kikosi kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Jumamosi, Benjamin Mkapa.

Mazoezi hayo yatafanyika saa 10 jioni katika Uwanja wa Mo Simba Arena ambapo wachezaji wote wanatarajiwa kuhudhuria.

Advertisement

Lengo letu ni kuhakikisha tunachukua ubingwa wa michuano hii na tunapaswa kushinda kila mchezo tukianza na Coastal, Jumamosi.

Back to homepage
Share this story