Baada ya kufika wachezaji wamepewa mapumziko na kesho kikosi kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Jumamosi, Benjamin Mkapa.
Mazoezi hayo yatafanyika saa 10 jioni katika Uwanja wa Mo Simba Arena ambapo wachezaji wote wanatarajiwa kuhudhuria.
Advertisement
Lengo letu ni kuhakikisha tunachukua ubingwa wa michuano hii na tunapaswa kushinda kila mchezo tukianza na Coastal, Jumamosi.