Simba Sports Club
Uncategorized

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kuivutia kasi Orlando

23 Apr 2022 By simbasc 704 views

Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika Uwanja wa Orlando kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates utakaopigwa kesho saa moja usiku.

Tutaingia katika mchezo wa kesho tukiwa na faida ya bao moja tulilopata katika mchezo wa kwanza hivyo sare ya aina yoyote itatufanya kutinga nusu fainali.

Advertisement
Back to homepage
Share this story